BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UDAHILI WA WANAFUNZI WA ASTASHAHADA NA STASHADA KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE).
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na vyuo vya Serikali tu. Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.
Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tuyatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.
Aidha vyuo vyote vitatangaza au kuwafahamisha moja kwa moja waombaji majina ya watakaochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali; na wale wa kozi za Afya na Ualimu watatangazwa na Wizara husika na kupitia tovuti ya NACTE.
Baraza linapenda pia kuwafahamisha kuwa Vyuo vitaanza kupokea maombi ya udahili wa wanafunzi kuanzia tarehe 15 Mei, 2017 hadi tarehe 20 Agosti, 2017. Majina ya waliochaguliwa yatatangazwa tarehe 14 Septemba, 2017. Masomo kwa mwaka wa masomo 2017/2018 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 25 Septemba, 2017.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 10/05/2017
#jaman msaada Nina four ya 27 kiswahili C masomo yote yaliyo baki ya arts nina D nisomee nini
LikeLike
Naomba kujua nafasi za masomo kwa mwaka huu ualimu ngazi ya cheti na diploma yanatoka lini?
LikeLike
Naomba kuuliza kuwa kwanafunzi aliehitimu 2014 ambae amepata C 3 B1 na D 1
Anaweza kujiunga na vyuovya uwalimu wa shule ya msngi na utalatibu upoje
LikeLike
Jaman mm nimemaliza form four mwaka jana 2020
na nimepata four ya 26
na nina c tatu
yan ya kisw,engl na geo
na nilisoma masom 7 yan bio,math,kisw,engl,civ,geo and hst
lakin kat ya aya yote math tu ndo nina f lakin ukiachana na yale matatu mengine yote nina d
LikeLike
Mimi naomba kusaidiwa kwa namna yeyote ile na hamu saan ya kusomea ualim chuo chochote lakini sina support na wakufunzi tofauti tofaut kwa ajili ya kunipa darasa zaidi kuhusiana na ufaulu wangu
LikeLike
Unahitaji msaada gani
Call: 0628236106 kwa maelezo zaidi
LikeLike
Nimesoma open University of Tanzania kwa Sasa nafundisha shule ya Mt severine iliyopo Biharamulo mkoa wa Kagera
LikeLike
Vipi ajira za walimu waliohitimu diploma ya elimu ya awali serikalini
LikeLike
Nimekipenda xana chuo chenu mungu awabariki sanaa
LikeLike
Mimi Nina alama D 3 na mwaka mwingine Nina alama D 2 sasa je naweza kuchaguliwa kuwa mwanachuo cha serikali ya mitaa hombolo?
LikeLike
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nataka nikasome diploma ya labolatory technician kwa lengo la kujiendeleza kielimu je ninaruhusiwa?
LikeLike
Samahani kwa usumbufu mm nina C mbil ambazo ni mathematics na english pia masomo mengine nina D kasolo physics nina F alafu nataka nikasome civil engineering .Tatizo langu kubwa nilitaka nijue vyuo vyenye kozi hiyo ninayo itaka.Ahsanteni
LikeLike
MITI Mbeya wanatoa civil engineering
LikeLike
naitwa annoancy ninataka kuapply katika kozi za afya, nina physcs c, biology c, chemistry c,dvsn2 nitapata nafasi
LikeLike
nina c tatu na d tatu yani(geog,kisw,na english c ) na (bios,history na civics d ) yaan iv point 26 je siwezikupata nafasi ya kujiuna na chuo cha ualimu primary ngazi ya cheti??
LikeLike
Hivi coz
LikeLike
Udahilli wa wanafunzi kwenda vyuoni mwaka wa masomo 2018/19 Lini
LikeLike
wadau naomba kufahamishwa matangazo ya kujiunga na vyuo vya kilimo ngazi ya diploma 2018/2019 yameshatoka na ni vyuo vipi?
LikeLike
An intriguіng discᥙssion is worthh commеnt. I think that yyou should publish
more on this іssᥙe, it mіgght not be a taboo matter Ƅut usually folҝs don’t talk about such
issues. To the next! Best wishes!! http://www.barcodekitties.com/
LikeLike
nina B ya bio, D ya chem, F ya phys,na D ya math naweza jiunga na clinical officer ngaz ya diploma.
LikeLike
Nina c 3 ambazo ni history, GEOGRAPHY, ENGLISH LANGUAGE naweza nikasoma kozi gani kwa masomo hayo
LikeLike
I am truly thankful to the holder of this site who has shared this wonderful post
at here.
LikeLike
I am truly thankful to you too for your appreciation.
Can you share with us please how helpful was this post to you?
LikeLike
Ivi maombi ya kusoma diploma ya nursing kwa Sie ambao Tayar tumemaliza certificate ya nursing mwaka 2017 na matokeo tayari yametoka, ni Lin tunatuma maombi afu ninatakiwa kuwa na vigezo vip au GPA ipi ili nisome hiyo diploma
LikeLike
mimi nina history d geog c na language d masomo yote ya arts d kasoro maths nina f.je naweza kuapply course itanifaa
LikeLike
Samahani Naomba Kuuliza Nina Chem C,bios C Phys E Je Naweza Kupata Course Ya Medical Laboratory In Diploma, Kwa Chet Cha Olevel
LikeLike
Nmesoma kidato cha nne na nmepata div2 nikaendelea na frm six nikapata div 4 ya e moja naruhusiwa kuanza certfcat au diploma kw kozi ya ualimu science
LikeLike
habari ninaomba kusaidiwa, inawezekana mtu kunbadiri course toka BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN COMMUNITY HEALTH kwenda BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN NURSING? naomba msaada.
LikeLike
naomba kuuliza Mimi Nina chem D bios C na phy F naweza kupata kozi katika vyuo vya afya
LikeLike
hv haya majina ya wanafunzi wa certificate in nursing Co na medical lab yashatangazwa?
LikeLike
Naomba kuuliza mm nmemaliza kidato cha sita na nmepata dvsion 3-13 nna DDE… Na nmeomba bachelor of laboratories technician… Na nyngne nyng… Je ntapata chuo???
LikeLike
Hi guys hiv kujiunga na ngazi ya diploma kutoka certificate ni vigezo gani wanataka
LikeLike
Uwe na pass
LikeLike
Naomba msaada nina dv 4 point 28 ya art je naweza kujiunga na chuo cha kilimo
LikeLike
Jaman mm Nina ,biology C, chemistry D,physics C, mathematics,D, ninaruhusiwa kuchukua diploma ya nursing
LikeLike
Hayo matokeo yako ni ya O-level au A-level?
LikeLike
Cheri unaruhusiwa. Dip ni Biology C ,Chem C na Phy D. ( O level)
LikeLike
Obadiamwakisu@gmail.com
LikeLike
Nina C chemistry, B bios ,But Physics Nina E vip naruhusiwa omba teaching au Clinical Medicine courses..?
LikeLike
Teaching ni sharti uwe na Division three, omba clinical medicine
LikeLike
min nina C,,ya bio na chemistry na B ya English na F hesbu,,,,nlikua nataka kusomea clinical officer,,,je naruhusiwa?
LikeLike
Unaruhusiwa ikiwa una jumla ya pass (D) zisizopungua nne
LikeLike
Samahan nilikuwa naomba kuuliza mim nina C ya Bio,D ya Geo F ya Chem nlkua nmechukua Comb CBG dv iii ya 24 eti naruhusiwa kusomea sayansi ntakapochaguliwa kujiunga na chuo cha ualimu ngaz ya diploma nmemalza shule 2015 halafu udahili unafanyika kupitia nacte au moja kwa moja chuoni?
LikeLike
Hilo la kuruhusiwa kusoma Sayansi linaweza kujibiwa vyema chuoni unakotaka kusoma. Kuhusu maombi, kwa vyuo binafsi unaomba moja kwa moja chuoni ila kwa vyuo vya serikali unaomba kupitia NACTE
LikeLike
I completed form 4 last year, after declaration of results like scored division 2. But I would like to join with primary teaching course, I have a lot of reasons to so. Honestly I really like to teach primary school especially bush schools, Am I allowed to apply for this field regardless my points?
LikeLike
I completed form 4 last year, after declaration of our results I scored division 2. But I would like to join with primary teaching course, I have a lot of reasons to so. Honestly I really like to teach primary school especially bush schools, Am I allowed to apply for this field, regardless my points?
LikeLike
Hopefully you can apply since the minimum requirement is Division three
LikeLike
Mimi wakuu napenda kuuliza hivi kozi ya kuhifadhi kumbu kumbu za afya ngazi ya stashahada inafundishwe kwenye chuo cha bukumbi?
LikeLike
Tafadhali naomba ufafanuzi kwa wale walimu wenye certificate watumie njia gani kujiendeleza?? Kwa kuwa dipaloma in primary education haipo?,
LikeLike
Diploma in primary education haipo wapi? Hujaeleweka ndugu
LikeLike
Ninauliza hivi diploma yoyote ila ni lini wataanza pewa mikopo ya elimu ka ilivyoahidiwa na mweshimiwawezi wa kwanza mwaka huu
LikeLike
msaada. kuna chuo nmekichagua nahtaji kubadilisha niweke kingine, je inawezekana au kutatokea shida.
LikeLike
Ikiwa Mfumo Umesha Funguliwa Lakin Kada Unayo Ombea Kupitia Mtandao Inagoma Kuja Wanaleta Kada Moja Ty, Nin Tatzo? Na Taratibu Zote Tayali Had Kulipia Nacte? Nimeombea Ualim Inagoma Kada Iyo Kuja Naomba Msaada Wakuu Kuusu Ili,,,
LikeLike
Lini vyuo vitafunguliwa vya ualimu ?
LikeLike
naombamsaada wakuu niemeendaku apply kwa internet cafe kupitia mtandao leo tar28 process zote zimefanyika hadikulipia hela nlikua naombeakada yaualimu lakin imekuja kugomamwishokwenyeuchaguz wa kadawana leta kada ya health bas ualimu nayoombea hawa lete nin tatizo ,? msaaadaa jamaan!!!
LikeLike
Ni vyema ukawasiliana na NACTE (www.nacte.go.tz) au chuo unachotaka kuomba nafasi
LikeLike
Nimeitim,form four 2009 naitaj kutuma maombi ya kujiunga na chuo cha afya au ualim kwa hiyo level naweza fanikisha
LikeLike
Lini vyuo vitafunguliwa vya ualimu ?
LikeLike
kama uliomba udahili wa mwezi wa tatu na ukachaguliwa ila ukashindwa kujiunga na hayo masomo je kwa sasa naweza kutuma tena maombi na kwa njia ipi sababu jina tayari lisha chaguliwa.
LikeLike
Mimi Nina mdogo wangu ana dv ya 26 je anawezapata nafasi na kwa baati mbaya chet chake cha kuzaliwa kina jina twafwaut na na jina la shulen je nifanyeje niweze kusolvu
LikeLike
Aende mahakamani aapishwe kuwa majina yote ni ya kwake au aende RITA abadilishe cheti cha kuzaliwa
LikeLike
Naomba orodha ya vyuo vya diploma ya sekondar kwa masomo ya arts
LikeLike
Samahanini jaman hiv kwa wale 2liorisit mtihani 2naruhusiwa kujiunga na vyuo vya afya kwa ku2mia original chet na cha kurisit hata kama nina vigezo? Japo kwa kuunga vyeti
LikeLike
Ku-resit si dhambi, ikiwa umepata vigezo sitahiki unaomba kozi yoyote
LikeLike
nikiapply kutmia smart phone ntafanikiwa
LikeLike
Kwa Mtu aliepata dv two ya 18 na Ana D Physics D Chemistry na B biology na Mwenye dv two ya 20 na Ana C physics C biology Na D ya Chemistry anaweza pata diploma ya Phamaciutical au Medical laboratory?
LikeLike
Usihangaike kutafuta shortcuts zitakughalimu, zingatia vigezo ulivyowekewa hapo
LikeLike
naomba anaejua sifa za kujiunga na ualimu ngazi ya chet 2017/2018 anisaidie please
LikeLike
Division three
LikeLike
jamani mimi nina physics d chemistry c na biology c je naweza pata chuo cha afya
LikeLike
Bila shaka yoyote
LikeLike
samahni jaman naombeni msaada,hivi kwa hapa daresalaam ni vyuo gani vya serikali vinavyotoa mafunzo ya ualimu kwa ngazi ya diploma??
LikeLike
THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY – KIGAMBONI
LikeLike
Samanini jaman mm Nina B bios.C chemistry C physics na B ya Maths nataka kuomba lugalo clinical medicine,au muhimbili medical laboratory nimemalza form six pia nikiwa na PCB (E,E,D) Je watanichagua????
LikeLike
Samahan naomb ushaur kwenu kwa maana nimemaliza cha nne nina D katika masomo haya
Bios ,hist,civ,na geograph ikiwa english na kiswahi nina C lakin math na chem F hrafu nahtaji chuo naweza kupata wap na kizuri
LikeLike
nina division three naweza pata ya njozi ya walimu in certificate or diplomaa in primary education
LikeLike