Elimu Leo

Home » Habari » MATOKEO YA UDAHILI WA CERTIFICATE NA DIPLOMA KWA AWAMU YA MWEZI MACHI NA APRIL 2017

MATOKEO YA UDAHILI WA CERTIFICATE NA DIPLOMA KWA AWAMU YA MWEZI MACHI NA APRIL 2017

BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI

(NACTE)

TAARIFA KWA UMMA

UTEUZI WA WAOMBAJI WA UDAHILI WA KOZI ZA ASTASHAHADA(CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA)

KWA AWAMU YA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi liliratibu zoezi la udahili kwa waombaji wa kozi za Astashahada (Cheti) na Stashahada (Diploma) kuanzia tarehe 23 Februari, 2017. Zoezi la maombi ya udahili lilifungwa rasmi tarehe 06 Machi 2017 ili kuruhusu uteuzi wa kwa waombaji wa kozi hizo.


Baraza linapenda kuwaarifu waombaji wa kozi za Astashahada na Stashahada; na umma kwa ujumla kuwa, matokeo kwa waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali yametangazwa tangu tarehe 25 Machi 2017kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) uliotumika kufanya maombi ya udahili. Waombaji wanashauriwa kutembelea kurasa zao (profiles) za kuombea udahili kupitia CAS ili kuona kama wamechaguliwa.


Ili kutembelea ukurasa wako, waweza pia kubofya hapa.


Imetolewa na

Ofisi ya Katibu Mtendaji

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

Tarehe: 26 Machi, 2017


58 Comments

  1. Francis wamahe says:

    Naomba kujua jinsi ya kupata chuo ulichopangiwa ukiwa umetuma maombi kupitia nacte

    Like

  2. Cheche says:

    Subir tukushaur

    Like

  3. Bakari James says:

    naomba ushauri wenu kwakipindi hiki ni course zipi ambazo nikisomea ajira zinapatikana angalau?? naomba ushauri

    Like

  4. Jamila siraji says:

    Mm nimemaliza certificate ya ualimu wa shule ya msingi nakupata credit ya 3.8 mwaka 2017 nataka kujiunga na diploma ya ualimu inawezekana January hii au nimechelewa

    Like

  5. samwel marco says:

    mie nauliza wapi nitapata tarehe ya kwenda shuleni pamoja na gharama zake maana sijapata nimepagwa chuo ualim mandaka

    Like

  6. samahan jamani nilikuwa nauliza kuhusu majina waliochagulia kujiunga na vyuo vya afya kama.yameshatoka

    Like

  7. samahani nilikuwa nauliza kuhusu matokeo ya vyuo vya afaya 2017/2018 yameshatoka au bado

    Like

  8. ANORD AUDAX says:

    Naomba jinsi ya kupata matokeo yangu ,maana sijui nianzie wap

    Like

  9. Trecy Athuman says:

    jaman bado hawajatoa orodha ya walio chaguliwa na kujiunga na vyuo vya Afya 2017-18 coz mm natafuta sion na kama tayar nitayapateje

    Like

  10. Hussein omary says:

    Jamani post xa kujiunga na chuo kwa watu diploma na certificate yameshatoka!??kama Tatar niingilie wap niwezekuyona??

    Like

  11. sophy says:

    majina ya walochaguliw kujiunga na vyuo vya afya 2017/18 yanatok lin

    Like

  12. sophy says:

    nauliza majina ya walochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya 2017/18 yanatoka Lin?

    Like

  13. sophy says:

    nauliza majina ya walochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya 2017/18 yanatok lin

    Like

  14. peter says:

    tokeo bado wazee wangu watu roho juu

    Like

  15. remmy remmy says:

    nimemaliza kidato cha sita ninaufaulu wa principal moj D je nini chaguo sahihi kwangu?

    Like

  16. anna fedrick vungwa says:

    Mimi naitwa anna nilichaguliwa na nacte mwaka jana katika chuo cha hagafilo sikwenda kwa sababu ya matatizo yaliyonikumba kwa hiyo mwez huu nilienda mtandaoni kuaply vyuo vingine lakini sio kwa fakati ile ya mara ya kwanza nikaambiwa namba yangu inatumika hapo chuon na mim ni mwanafunzi wa hicho chuo nimejarbu kuongea na utawala naona wanasema inashindikana na mimi nataka kusomea elimu sio naomba mnisaidie

    Like

  17. Mimi nimepata C biolg ,D phy,D chem,D maths,C,English nauliza kuomba mpaka upitie kwenye vyuoni unakota kusomea au ?

    Like

    • Elimu Tanzania says:

      Unaomba chuoni moja kwa moja isipokuwa kwa kozi za afya na ualimu kwenye vyuo vya serikali ndo unatakiwa kuomba NACTE

      Like

  18. zacharia Thobias says:

    Naomba kujua Je unaweza kujisajiri Nacte kwa ngazi ya certificate pasipokupitia chuo chochote (utumie centre ya kufanyia mtihani) .

    Kama inawezekana,ni vituo gani vunavyokubaliwa na Nacte kwa ngazi ya Diploma na certificate?

    Like

  19. Je? maomb yatatumwa kwa tsh ngapi na nilazima kuenda kutuma chuoni au hata internet cafe au kwa hata simu yenye uwezo?

    Like

  20. said says:

    nina C ya bioz D ya chem D ya phys D ya math na F ya english naweza pata certificate ya nursing na kulingana na vigezo walivyoweka vya CCD alaf tena na f ya engl msaada please

    Like

    • Yes coz nursing course lazma uwe na pass principle 3 ambzo znaanzia na D na kuendlea kwa maxom ya science ambyo ni chem,bios and phy kama ulvyopat wew xo fanya maomb kwa mujibu wa tangazo yaxhafunguliw tar15 mei ndugu.

      Liked by 1 person

  21. aminiel amos says:

    nauliza four ya 26 inaruhusiwa kusomea ngaz ya ualim wa shule ya msingi

    Like

  22. princess peter says:

    nataka kujua muhula wa masomo 2017/2018 intake zinaanza mwezi gani na kwa mwaka huu zipo intake ngapi?

    Like

  23. promise says:

    Naomba kuuliza kwa vyuo vya serikali ngaz ya 4m 4 waweza kuapply Kupitia nacte ili kusoma certificate & diploma kwa pamoja na baada ya miaka 3 kumalIza

    Like

    • Elimu Tanzania says:

      Unaomba kwanza ngazi ya certificate mwaka mmoja ukimaliza unaunganisha diploma mwaka unaofuatia ambayo utaisoma miaka miwili. Mara nyingi hili linawezekana ikiwa utasoma diploma chuo hicho hicho ulichosoma certificate ila kama utataka kusoma diploma chuo tofauti na kile ulichosoma certificate itakulazimu ukae tena mwaka mmoja mtaani ili kuweza kufanya hivo

      Like

  24. Laudato si says:

    Mbona Kimya Sana Hata Sijibiwi

    Like

  25. Laudato si says:

    Lini Wanatoa Post Na Udahili Lini

    Like

  26. edy edo says:

    mbona sioni orodha ya vyuo vya diploma mwezi huu wa tano 2017?

    Like

  27. ukiwa umepata c ya biology na chemistry alafu physics D unaweza kwenda kusoma diploma ya pharmacy

    Like

    • Elimu Tanzania says:

      Mfumo wa NACTE unamruhusu mhitimu wa kidato cha nne kusoma kwanza Certificate kabla ya Diploma. Hata hivyo upo uwezekano kwa baadhi ya vyuo kukudahili katika ngazi ya diploma inayochukua mda mrefu zaidi ya ule wa kawaida.

      Like

  28. leonard julius says:

    vipi lakini mbona transfer request hamna hii intake

    Like

  29. Ruben Emanuel says:

    application zinaanza lin?! kwa mwaka 2017/2018?!!

    Like

  30. shija says:

    Lini vyuo vinafungiliw kwa ajir ya kuapply

    Like

  31. izack says:

    masomo ya march april intake 2017 yanaanza mwezi gani msaada jaman

    Like

  32. Mossy Hassan says:

    Diploma ya msingi imefutwa au bado inaendelea kutolewa?

    Like

  33. Nataka kujua lini mfumo wa CAS utafunguliwa kwa ajili ya intake ya septemba 2017 kwa wanaomba nafasi za masomo

    Like

    • Elimu Tanzania says:

      Like ukurasa wetu wa facebook au jiunge (follow) blog hii ili upate taarifa mara tu NACTE watakapofungua mfumo huo wa CAS

      Like

  34. Mary Charles says:

    Naomba kufahamu kuhusu stashahada ya elimu kwa walimu wa shule za msingi, ipo ya kiswahili na ya kiingereza sielewi ni kwa nini zipo mbili kama lengo ni moja, Pia maombi ya kujiunga na vyuo kwa mwaka wa masomo 2017/2018ni lini?

    Like

    • Elimu Tanzania says:

      Kuna english medium na swahili medium primary schools, itakuwa ndo sababu ya kufanya hivo. Kuhusu maombi, kwa kawaida ni mwezi mei lakini kwa uhakika like ukurasa wetu wa Facebook au fuata (follow) blog hii upate tarrifa mara tu NACTE watakapotangaza nafasi hizo.

      Like

      • Timo. says:

        Be proactive guys – it looks as a joke! Indeed, it’s not a joke – people are struggling to get information and there is no much information on your website nor updating information on your site. But, when people try to find out – you are making a joke by answering nuisances-grow up! Ndiyo maana tunazaurika in international level kuhusu elimu yetu because people who are in the position (like you) are not serious – instead, are there just for being paid not working…sad!

        Like

        • Elimu Tanzania says:

          Which information are you missing Timo? cool down and be open, tutakusaidia kwa kadri ya uwezo wetu (no body pays us).

          Like

      • mulhat says:

        Naomba unijuze je, , hiyo diploma in primary ipo au haipo kwa mwaka wa masomo 2017/2018??? Please answer it, ,, Mmetuacha njia Panda

        Like

        • Elimu Tanzania says:

          Hatuna mamlaka ya kutuwezesha kujua hilo. Elimu Tanzania ni wahabarishaji tu wa kile kinachotokea kwa wakati husika. Ikitokea tumepata taarifa inayohusiana na swali lako tutawajulisheni.

          Like

  35. Morrison says:

    Kama hujachaguliwa utafanyaje?au kuna second selection?

    Like

  36. Amina Nzoya says:

    Asante,mim ninahtaji kuhama chuo na coz nilyochaguliwa ila sijajua jinsi ya kuhama kwa hii intake itakuwaje?

    Like

  37. Abel Edward Mmassy says:

    Ahsante kwa taarifa nzuri.

    Liked by 1 person

Weka mawazo yako hapa