Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU) imetangaza kushushwa kwa viwango vya ufaulu wa wahitimu wa diploma na FTC wanaotaka kujiunga na masomo ya ngazi ya shahada.
Wahitimu wa diploma sasa wanapashwa kuwa na ufaulu wa wastani wa 3.0 badala ya ule wa awali wa 3.5 na wale wenye FTC wanapashwa kuwa na daraja C badala ya B la awali.
Kwa taarifa zaidi fungua link hii hapa chini
Mm nataka kujiungaa degree mudaa umepitaa au badoo mnaendeleaa tenaa atiii vyieee
LikeLike
Kwa sasa umechelewa maana dirisha la udahili limeshafungwa hadi mwaka mwingine wa masomo. Endelea kutembelea Elimu Tanzania kwa habari zaidi za kielimu.
LikeLike